Ujio wa Sibusiso ni muendelezo wa kuboresha benchi la ufundi baada ya kutua kwa kocha mkuu, kocha wa makipa na mtathimini video.
Sibusiso (33) raia wa Afrika Kusini ni kocha mwenye uzoefu na amewahi kuzifundisha Upington City, Orlando, Sikukhene pamoja na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.