Jentrix alifunga mabao matatu ndani ya kipindi cha kwanza huku la mwisho akitupia cha pili.
Shikangwa alifungua akaunti ya mabao kwa kufunga la kwanza dakika ya nane kabla ya kuongeza mengine dakika za 25 na 43.
Advertisement
Shikangwa alikamikilisha karamu ya mabao kwa kufunga bao la nne dakika ya 64.
Ushindi huu umetufanya kufikisha pointi 16 baada ya kucheza mechi saba.