Sakho ambaye ni mfungaji wa goli bora la Afrika mwaka jana anakuwa mchezaji pekee kutoka Afrika kuitwa kwenye kikosi cha Aliou Cisse.
Baada ya kumaliza mchezo wetu wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya, Sakho atapata ruhusa ya kwenda kujiunga na Simba wa Terenga.
Nyota wengine wa kimataifa walioitwa timu zao Taifa ni:
Advertisement
Henock Inonga, DR Congo
Clatous Chama, Zambia
Peter Banda, Malawi.