Simba Sports Club
News

Sakho aitwa timu ya Taifa ya Senegal

17 Mar 2023

Sakho ambaye ni mfungaji wa goli bora la Afrika mwaka jana anakuwa mchezaji pekee kutoka Afrika kuitwa kwenye kikosi cha Aliou Cisse.

Baada ya kumaliza mchezo wetu wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya, Sakho atapata ruhusa ya kwenda kujiunga na Simba wa Terenga.

Nyota wengine wa kimataifa walioitwa timu zao Taifa ni:

Advertisement

Henock Inonga, DR Congo

Clatous Chama, Zambia

Peter Banda, Malawi.

Back to homepage
Share this story