Simba Sports Club
News

Saido, Kapombe, Zimbwe Jr wachuana mchezaji bora wa mashabiki

30 Jan 2023

Nyota hao ni kiungo mshambuliaji Saido Ntibazonkiza na walinzi Shomari Kapombe na Mohamed Hussein 'Zimbwe Jr'.

Takwimu zao za mwezi Januari

Dakika Mechi Mabao Assist

Saido 270 3 2 1

Advertisement

Kapombe 270 3 0 0

Zimbwe Jr 270 3 0 0

Zoezi la kupiga kura litaanza leo saa 10 jioni kupitia tovuti yetu ya www.simbasc.co.tz na litafungwa Februari mosi saa sita usiku.

Mshindi atakabidhiwa pesa taslimu Sh. 2,000,000 na tuzo kutoka kwa wadhamini Emirate Aluminium Profile.

Back to homepage
Share this story