Simba Sports Club
News

Rweyemamu Meneja mpya wa timu

23 Jul 2024

Rweyemamu anarejea kwenye nafasi hiyo baada ya kupita mwaka mmoja kutokana na kupewa majukumu mengine kwenye timu ya vijana.

Tayari Rweyemamu amejiunga na kikosi nchini Misri kuendelea na maandalizi ya msimu mpya wa mashindano.

Advertisement

Kabla ya kubadilishiwa majukumu kwenda timu ya vijana Rweyemamu alikuwa Meneja wa timu eneo ambalo alihudumu kwa muda mrefu.

Back to homepage
Share this story