Simba Sports Club
News

RC Makala awasili Mkutanoni

29 Jan 2023

Mh. Makala amepokelewa na Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula na kumuongoza sehemu ambayo anatakiwa kukaa.

Pamoja na mambo mengine, zoezi la uhakiki wa wanachama ambalo lilianza tangu saa moja asubuhi bado linaendelea.

Advertisement
Back to homepage
Share this story