Simba Sports Club
News

Rasmi Ouattara ni Mnyama

22 Jul 2022

Ouattara mwenye (23), raia wa Ivory Coast ni miongoni mwa chaguo la Kocha Zoran Maki ambaye wamewahi kufanya kazi pamoja nchini Sudan katika Klabu ya Al Hilal

Tayari Ouattara ameshajiunga na kikosi chetu Nchini Misri kinachoendelea na kambi ya maandalizi kwa ajili ya msimu ujao wa Mashindano 2022/23.

Advertisement

Mohammed Ouattara ni mlinzi mwenye uzoefu na soka la Afrika akiwa ameshacheza Wydad Athletic Club ya Morocco.

Back to homepage
Share this story