Simba Sports Club
News

Rais Samia aipongeza Simba kutinga makundi Afrika

16 Oct 2022

Rais Samia ametuma salamu hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter akionyesha kuthamini kazi kubwa tuliyofanya ya kuingia hatua na kupeperusha vema bendera ya nchi.

Katika salamu hizo, Rais Samia ameandika:

Advertisement

"Kongole Simba kwa ushindi wa bao 1-0 (ushindi wa jumla 4-1) mlioupata dhidi ya Premiero De Agosto ya Angola na kufanikiwa kuingia hatua ya makundi ya Klabu Bingwa barani Afrika. Nawatakia kila la kheri katika michuano inayofuata."

Back to homepage
Share this story