Mabadiliko hayo yanatokana na malengo tuliyojiwekea kuelekea msimu ujao hasa ukizingatia msimu uliopita tulishindwa kutetea ubingwa wetu.
Nyota hao wengi wao mikataba yao imemalizika huku wachache wakiondoka kutokana na makubaliano ya pande mbili.
Wachezaji hao ni Ritticia Nabbosa, Precious Christopher, Wincate Kaari, Asha Djafari na Gelwa Yonah.
Advertisement
Wengine ni Josephine Julius, Asha Rashid
Mary Saiki, Carolyene Rufa, Jackline Albert na Daniella Ngoyi.