Simba Sports Club
News

Queens yashusha winga kutoka DR Congo

15 Nov 2023

Diakiese anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa Queens kuelekea kuanza msimu mpya wa mashindano 2023/24 ambao unatarajiwa kuanza Desemba 15.

Tayari winga hiyo amejiunga na wenzake kambini na anaendelea na mazoezi chini ya kocha Mussa Hassan Mgosi.

Advertisement

Kikosi cha Queens kinaendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiwinda na mechi za Ngao ya Jamii pamoja na kuanza kwa Ligi.

Back to homepage
Share this story