Queens imepangwa pamoja na timu za GRFC (DR Congo), SHE Corporate WFC (Uganda), YEI Joint Stars (Sudan ya Kusini).
Michuano hii ambayo inategemewa kuwa na upinzani mkubwa kutoka na ubora wa timu zote inatarajia kuanza Agosti 13-28 jijini Dar es Salaam.
Advertisement
Kundi A litakuwa na timu za CBE (Ethiopia), Warrior Queens (Zanzibar), FOFILA PF (Burundi), AS Kigali (Rwanda)