Simba Sports Club
News

Queens yapangwa kundi B michuano ya CECAFA

20 Jul 2022

Queens imepangwa pamoja na timu za GRFC (DR Congo), SHE Corporate WFC (Uganda), YEI Joint Stars (Sudan ya Kusini).

Michuano hii ambayo inategemewa kuwa na upinzani mkubwa kutoka na ubora wa timu zote inatarajia kuanza Agosti 13-28 jijini Dar es Salaam.

Advertisement

Kundi A litakuwa na timu za CBE (Ethiopia), Warrior Queens (Zanzibar), FOFILA PF (Burundi), AS Kigali (Rwanda)

Back to homepage
Share this story