Simba Sports Club
News

Queens yapangwa kundi B michuano ya CECAFA

25 Jul 2024

Queens amepata tiketi ya kushiriki michuano hiyo kwa sababu imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) msimu uliopita.

Timu tisa zimepangwa kwenye makundi mawili na bingwa wa michuano hiyo ataiwakilisha CECAFA kwenye mashindano ya Afrika.

Kundi B ambalo ndio tupo lina timu zifuatazo:

Simba Queens (Tanzania)

Advertisement

PVP Buyenzi (Burundi)

Kawempe Muslim (Uganda)

Fad Djibouti (Djibouti)

Michuano hiyo itaanza kutimua vumbi Agosti 17 na kumalizika Septemba 4 katika mji wa Addis Ababa nchini Ethiopia.

Back to homepage
Share this story