Simba Sports Club
News

Queens yaifuata Ceasia Iringa

15 May 2023

Mchezo dhidi ya Ceasiaa Queens utapigwa Jumatano saa 10 jioni katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mkwawa ambao ni muhimu kwetu kupata ushindi ili kufufua matumaini ya ubingwa.

Wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri tayari kupambana hadi tone la mwisho kuhakikisha tunashinda ingawa tunaamini utakuwa mgumu.

Advertisement

Queens itaingia kwenye mchezo wa Jumatano ikiwa nafasi ya pili katika msimamo na pointi 42 alama moja nyuma ya vinara JKT Queens.

Back to homepage
Share this story