Simba Sports Club
News Videos

Queens yafanya mazoezi ya utimamu wa mwili

20 Aug 2024

Mazoezi ya utimamu ni muhimu kiafya kwa wachezaji kwakuwa yana urejesha mwili katika hali ya kawaida baada kutumia nguvu nyingi kwa wakati mmoja.

Simba Queens itashuka tena dimbani kesho Jumatano saa tano asubuhi kuikabili Kawempe Muslim ya Uganda katika mchezo wa pili wa kundi B.

Advertisement

Kawempe Muslim waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya RVP Buyenzi katika mchezo wa kwanza.

Back to homepage
Share this story