Mchezo huo mkali unatarajiwa kuwavutia wengi utapigwa katika Uwanja wa Azam Complex saa 10 jioni.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo tayari kwa mchezo wa kesho.
Advertisement
Kocha msaidizi Mussa Mgosi amesema mchezo utakuwa mgumu kutokana na ubora wa JKT lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi.