Simba Sports Club
News

Queens yafanya mazoezi ya mwisho Jamhuri

1 Feb 2024

Queens itaingia kwenye mchezo huo tukiwa na kumbukumbu ya kupata ushindi mnono mabao 7-0 dhidi ya Alliance Girls tuliopata katika mechi iliyopita.

Morali za wachezaji zipo juu na kila mmoja ameonyesha jitihada kubwa mazoezini ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa katika mchezo wa kesho.

Advertisement
Back to homepage
Share this story