Mchezo huo ambao utapigwa katika Uwanja wa Azam Complex saa 10 jioni.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna ambaye tutamkosa kutokana nakuwa majeruhi au kutumikia adhabu ya kadi.
Advertisement
Baada ya kucheza mechi mbili za ugenini dhidi ya Amani Queens na Bunda Queens kikosi chetu kimerejea katika Uwanja wa nyumbani kuwakabili Alliance Girls.