Simba Sports Club
News

Queens yafanya mazoezi ya kwanza Morocco

27 Oct 2022

Baada ya timu kufika Morocco jana jioni wachezaji walipewa mapumziko kwa ajili ya uchovu wa safari na leo wameanza mazoezi rasmi.

Benchi la ufundi chini ya Kocha Charles Lukula limeridhishwa na jinsi wachezaji wanavyojituma mazoezini hivyo matumaini ya kufanya vizuri ni makubwa.

Advertisement

Mchezo wetu wa kwanza kwenye mashindano haya utakuwa Jumapili, Oktoba 30 dhidi ya wenyeji ASFAR FC.

Back to homepage
Share this story