Simba Sports Club
News

Queens yaanza na straika

21 Jun 2022

Zainabu ametokea timu ya Baobab Queens ya Dodoma na amejiunga na Queens baada ya kuridhika na uwezo wake.

Tumeanza kuandaa kikosi mapema kwa kuwa tunajua kuna michuano ya kimataifa kuanzia mwishoni mwa mwezi ujao.

Advertisement

Zainabu ni mchezaji wa kwanza ambapo usajili mwingine utaendelea kutangazwa mpaka tutakapojiridhisha kikosi kipo tayari kwa mapambano.

Back to homepage
Share this story