Simba Sports Club
News

Queens wafanyiwa Vipimo vya Afya

17 Jul 2024

Vipimo hivyo vimegawanyika katika sehemu kuu tatu ambayo ni damu, mapafu na moyo pamoja na kupima utimamu wa misuli na mishipa.

Queens itashiriki mashindano ya klabu bingwa kwa ukanda wa Afrika Mashariki (CECAFA) yanayotarajia kuanza Agosti 14 mwaka huu nchini Ethiopia.

Advertisement

Bingwa wa michauno hiyo anapata tiketi ya kushiriki mashidano ya klabu Bingwa Afrika.

Back to homepage
Share this story