Mchezo huo utapigwa Ijumaa, Februari 2 katika Uwanja wa Jamhuri jijini humo ikiwa tunaenda kwa lengo moja la kutafuta alama tatu.
Queens imefanya mazoezi ya mwisho jijini Dar es Salaam jioni katika Uwanja wa Veterani kujiweka sawa kabla ya kesho kuanza safari.
Advertisement
Queens itaondoka kuelekea Dodoma ikiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi mnono wa mabao 7-0 tuliopata katika mchezo uliopita dhidi ya Alliance Girls siku tatu zilizopita.