Simba Sports Club
News

Queens kufungua pazia la Klabu Bingwa Afrika leo

14 Aug 2022

Mchezo huo wa Kundi B utaanza saa moja usiku ambapo malengo yetu ni kuhakikisha tunachukua ubingwa huu katika ardhi ya nyumbani.

Jumatano kikosi cha Queens kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili SHE Corporates ya Uganda saa 10 jioni.

Advertisement

Mchezo wa mwisho katika hatua ya makundi utakuwa Jumapili dhidi ya Yei Joint Stars ya Sudan ya Kusini utakaopigiwa Azam Complex saa moja usiku.

Back to homepage
Share this story