Simba Sports Club
News

Queens kibaruani kuikabili Fountain Gate Leo

4 Jan 2023

Tutaingia katika mchezo wa leo tukifahamu utakuwa mgumu na kuiheshimu Fountain lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata alama tatu muhimu nyumbani.

Mchezo wa leo utakuwa wa nne kwetu tangu kuanza kwa ligi tukishinda mmoja, sare moja na kupoteza mechi moja pia.

Advertisement

Mechi hii itakuwa Live kupitia APP yetu kuanzia saa 9:40 Alasiri.

Back to homepage
Share this story