Michuano ya Ngao ya Jamii ndio mara ya kwanza kufanyika kwa upande wa timu za Wanawake na tunataka kuwa wakwanza kuchukua taji hilo.
Kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo na jana jioni kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mbweni Veterani kujiandaa na mtanange wa leo.
Advertisement
Nyota wetu wawili Asha Djafar na Joelle Bukuru ambao walikuwa na majukumu ya timu za taifa nao wamejiunga na timu tayari kwa mchezo wa leo.