Kikosi cha wachezaji 25 kimewasili hapa Ilulu jana na leo kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja huo ambao tayari kwa mchezo.
Simba Queens ipo chini ya Kocha Msaidizi, Mussa Hassan Mgosi kutokana na kocha mkuu Juma Mgunda kuwa nchini Ivory Coast na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' ambayo inashiriki michuano ya AFCON.
Advertisement
Queens itaingia katika mchezo wa kesho ikiwa na pointi tisa baada ya kushinda mechi zake zote tatu za mwanzo.