Kikosi kimefanya mazoezi ya mwisho ya kujiandaa na mchezo huo na wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri.
Kocha Mussa Hassan Mgosi mara zote amekuwa akisema kuwa malengo yetu ni kushinda kila mchezo ulio mbele yetu.
Advertisement
Kila mchezo tumeupa umuhimu sawa na hatuwezi kudharau timu yoyote kwa sababu tunataka kurejesha taji letu ambalo tulilipoteza msimu uliopita.