Simba Sports Club
News

Queens inahitaji alama moja kurejesha ubingwa wetu

3 Jun 2024

Queens ipo killeni mwa msimamo ikiwa na pointi 43 alama tisa juu ya JKT Queens ambayo ipo nafasi ya pili.

Mpaka sasa kila timu imecheza mechi 15 na kusalia na michezo mitatu pekee.

Hizi hapa mechi zetu tatu zilizosalia:

Juni 7

Alliance Girls Vs Simba Queens

Uwanya wa Nyamagana saa 10 Jioni

Advertisement

Juni 10

Simba Queens Vs Fountain Gate Princess

Uwanja wa Azam Complex saa 10 Jioni

Juni 14

Simba Queens Vs Geita Queens

Uwanja wa Azam Complex saa 10 Jioni

Back to homepage
Share this story