Simba Sports Club
News

Phiri nje wiki moja

24 Dec 2022

Kwa majibu hayo Phiri atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki moja hadi mbili kuuguza jeraha hilo ambalo si kubwa lakini anapaswa kuwa chini ya uangalizi ili kupona kabisa.

Phiri atakosa mechi zetu mbili za kufungia mwaka 2022 dhidi ya KMC itakayopigwa Jumatatu ijayo na ule wa Disemba 30 dhidi ya Tanzania Prisons.

Advertisement

Phiri ni miongoni mwa wachezaji wetu wawili walioocheza mechi zote 15 za mzunguko wa kwanza wa ligi.

Back to homepage
Share this story