read
news & Articles
Ahmed: Hatujilaumu, bali tumejifunza
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema hatujilaumu kwa kutolewa na Al Ahly katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Timu kuwasili nyumbani Alfajiri
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam kutoka Misri na kinatarajia kuwasili saa 10 Alfajiri. Baada ya kufika kikosi kitaingia kambini moja
Tumetolewa Ligi ya Mabingwa Afrika
Mchezo wetu wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly uliopigwa Uwanja wa Cairo International umemaliza kwa kupoteza kwa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Ahly
Kikosi chetu leo saa tano usiku kitashuka katika Uwanja wa Cairo International kuikabili Al Ahly kwenye mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya
Tunacheza Fainali yetu Cairo International Leo
Kikosi chetu leo saa tano usiku kitashuka katika Uwanja wa Cairo International kuikabili Al Ahly katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo
Quiz: Taja mchezaji aliyecheza mechi nyingi dhidi ya Al Ahly
Kesho saa tano usiku tutacheza dhidi ya Al Ahly katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Uwanja wa Cairo International nchini Misri.