read
news & Articles

VIDEO: Timu yaendelea na mazoezi
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya uwanjani kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2025/2026 kikiwa kambini nchini Misri. Mlinzi mpya wa kushoto Anthony Mligo nae

Tumepangwa na Gaborone United Ligi ya Mabingwa Afrika
Droo ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilika na tumepangwa na Gaborone United kutoka Botswana. Mchezo wa mkondo kwanza utapigwa Septemba 19-21

Sowah: Mimi sio mkorofi kama mnavyodhani
Mshambuliaji wetu nyota, Jonathan Sowah ‘Simba Mweusi’ ameweka wazi kuwa yeye sio mchezaji mkorofi na asiye na nidhamu bali yeye ni mtu anayependa amani. Sowah

Fadlu akoshwa na usajili tuliofanya
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi furaha yake kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 kutokana na aina ya wachezaji tuliowasajili. Fadlu amesema msimu uliopita tulikuwa

Kapombe aibeba Stars dakika za jiioooni!!
Bao pekee lililofungwa na mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe limetosha kuipa Tanzania ushindi muhimu dhidi ya Mauritania katika mchezo wa pili wa kundi B kwenye

VIDEO: Fadlu afunguka kuhusu kambi ya Misri
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi ya timu yanaendelea vizuri huku akiwapongeza wachezaji kwa kujitunza katika kipindi chote cha mapumziko baada ya msimu kumalizika. Fadlu