Pablo amesema ilikuwa mechi nzuri ambayo tuliitawala kwa kiasi kikubwa ambayo kama tungeongeza umakini tungepata ushindi mnono zaidi.
Pablo ameongeza kuwa kipindi cha kwanza tulipoteza nafasi nyingi za kufunga lakini hakutuzitumia vizuri lakini mabadiliko tuliyofanya yalituwezesha kupata ushindi huo mnono.
Advertisement
"Kwanza niwapongeze wachezaji kwa ushindi huu, ni jambo jema tumefuzu nusu fainali. Mchezo ulikuwa mzuri lakini tuliokuwa na nafasi ya kupata ushindi mnono zaidi," amesema Pablo.