Simba Sports Club
News

Opa ndani ya Kikosi Bora cha CAF Mabingwa Afrika

16 Nov 2022

Katika michuano hiyo Opa ameisaidia Queens kufika nusu fainali huku akifunga mabao mawili akichaguliwa mchezaji bora wa mechi mara moja (Woman of the match).

Katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Green Buffaloes kutoka Zambia Opa alifunga bao moja na ndipo alipochaguliwa mchezaji bora wa mechi.

Advertisement

Tayari Opa pamoja na Simba Queens wamewasili salama jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo kutoka Morocco ambapo tumeshika nafasi ya nne kwenye michuano hiyo.

Back to homepage
Share this story