Opa amekuwa na mchango mkubwa katika kikosi chetu akihusika na ushindi kwa asilimia kubwa kwenye kila mchezo.
Katika mwezi Januari, Opa amefunga mabao 10 katika michezo sita tuliyocheza huku akifanikiwa kufunga mabao matatu (hat trick) moja.
Advertisement
Opa atakabidhiwa fedha taslimu Sh 500,000 kutoka kwa wadhamini Rani Sanitary Pad.