Onyango ambae amekosekana kwenye mechi kadhaa atakuwa miongoni mwa wachezaji watakaosafiri kuelekea Mbeya tayari kwa mchezo wa Jumatano dhidi ya Prisons.
Leo jioni katika Uwanja wetu wa mazoezi wa Mo Arena Bunju, Onyango amejumuika na wenzie kwenye mazoezi yaliyoongozwa na Kocha mkuu wa muda Juma Mgunda.
Advertisement
Onyango anaungana na Henock Inonga, Mohamed Ouattara na Kennedy Juma kuunda safu yetu ya walinzi wa kati.