Okrah alivunjika kidole cha mguu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Februari 5.
Okrah ameanza mazoezi kamili jana na wachezaji wenzake na ameingia kambini tayari kujiandaa na mchezo wa Ijumaa dhidi ya Ihefu.
Advertisement
Kwa mujibu wa Daktari wa timu, Edwin Kagabo, Okrah yupo tayari kuanza kucheza mechi za kimashindano hivyo ni juu ya benchi la ufundi kumtumia.