Simba Sports Club
News

Okrah fiti kuivaa Ihefu Ijumaa

5 Apr 2023

Okrah alivunjika kidole cha mguu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Februari 5.

Okrah ameanza mazoezi kamili jana na wachezaji wenzake na ameingia kambini tayari kujiandaa na mchezo wa Ijumaa dhidi ya Ihefu.

Advertisement

Kwa mujibu wa Daktari wa timu, Edwin Kagabo, Okrah yupo tayari kuanza kucheza mechi za kimashindano hivyo ni juu ya benchi la ufundi kumtumia.

Back to homepage
Share this story