Taifa Stars itacheza mechi mbili za kufuzu dhidi ya Niger pamoja na Algeria.
Nyota hao walioitwa ni mlinda mlango Aishi Manula walinzi Shomari Kapombe, Mohamed Hussein na Kennedy Juma.
Advertisement
Wengine ni kiungo Mzamiru Yassin na mshambuliaji Kibu Denis ambao watatuwakilisha katika kikosi hicho cha Stars.