Simba Sports Club
News

Nyota saba waitwa Taifa Stars

15 Mar 2022

Taifa Stars itacheza mechi yake ya kwanza Machi 23 dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Machi 29 zote zikipigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Wachezaji walioitwa ni

Aishi Manula

Shomari Kapombe

Israel Mwenda

Advertisement

Mohamed Hussein

Mzamiru Yassin

Jonas Mkude

Kibu Dennis

Baada ya mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa Machi 20 nchini Benin wachezaji hao wataruhisiwa kujiunga na kikosi cha Stars.

Back to homepage
Share this story