Simba Sports Club
News

Nyota 24 watakaopaa Angola kuifuata De Agosto

7 Oct 2022

Tumeamua kuondoka na idadi hiyo kubwa ya wachezaji ukiacha wale majeruhi ili kumpa nafasi Kocha Juma Mgunda na wasaidizi wake kuwa na wigo mpana wa kupanga kikosi.

Kikosi kamili kilitakachosafiri

Makipa

1. Aishi Manula

2. Beno Kakolanya

3. Ally Salim

Mabeki

4. Israel Patrick

5. Mohamed Hussein

6. Gadiel Michael

7. Henock Inonga

8. Mohamed Outtara

9. Joash Onyango

10. Kennedy Juma

11. Erasto Nyoni

Advertisement

12. Nassor Kapama

Viungo

13. Jonas Mkude

14. Mzamiru Yassin

15. Sadio Kanoute

16. Victor Akpan

17. Clatous Chama

18. Nelson Okwa

19. Pape Sakho

20. Augustine Okrah

Washambuliaji

21. John Bocco

22. Moses Phiri

23. Habib Kyombo

24. Kibu Denis

Back to homepage
Share this story