Kikosi cha wachezaji 24 kitaondoka leo jioni kuelekea jijini Mwanza tayari kwa mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Ijumaa katika Uwanja wa CCM Kirumba.
Kikosi kamili kitakachosafiri
Makipa
1. Aishi Manula
2. Beno Kakolanya
3. Ally Salim
Walinzi
4. Gadiel Michael
5. Shomari Kapombe
6. Mohamed Hussein
7. Joash Onyango
8. Pascal Wawa
9. Kennedy Juma
10. Erasto Nyoni
11. Henock Inonga
Viungo
12. Jonas Mkude
13. Mzamiru Yassin
14. Hassan Dilunga
15. Yusuph Mhilu
16. Pape Ousmane Sakho
17. Jimmyson Mwinuke
18. Duncan Nyoni
19. Abdulsamad Kassim
20. Bernard Morrison
21. Sadio Kanoute
Washambuliaji
22. Medie Kagere
23. John Bocco
24. Kibu Denis
Wachezaji Majeruhi
1. Chris Mugalu
2. Taddeo Lwanga
3. Ibrahim Ajibu
4. Israel Patrick
Wachezaji ambao bado hawajaripoti kutoka timu za mataifa yao.
1. Peter Banda
2. Rally Bwalya