Simba Sports Club
News

Nyota 23 waliosafiri kuifuata Biashara

27 Sep 2021

Kikosi cha wachezaji 23 kimefika salama mkoani Mara tayari kwa mchezo wetu wa kwanza wa ligi dhidi ya Biashara United utakaopigwa kesho Jumanne katika Uwanja wa Karume saa 10 jioni.

Timu iliondoka jana saa 12 kwa Ndege kuelekea jijini Mwanza kabla ya leo asubuhi kuanza safari ya kuja Mara.

Kikosi hicho hicho ndicho kitaenda kuikabili Dodoma Jiji katika mchezo wetu wa pili utakaopigwa Septemba 30, katika Uwanja wa Jamhuri jijini humo.

Kikosi Kamili kinachosafiri

Makipa

1. Ally Salim

2. Beno Kakolanya

3. Aishi Manula

Walinzi

4. Israel Patrick

5. Shomari Kapombe

6. Mohamed Hussein

7. Pascal Wawa

8. Henock Inonga Baka

9. Kennedy Juma

10. Erasto Nyoni

Advertisement

Viungo

11. Mzamiru Yassin

12. Rally Bwalya

13. Pape Sakho

14. Peter Banda

15. Hassan Dilunga

16. Duncan Nyoni

17. Taddeo Lwanga

18. Jimmyson Mwinuke

Washambuliaji

19. Chris Mugalu

20. John Bocco

21. Medie Kagere

22. Yusuph Mhilu

23. Kibu Denis

Back to homepage
Share this story