Kocha Mkuu Juma Mgunda amempanga Saido nyuma ya mshambuaji John Bocco akicheza namba 10.
Huu utakuwa mchezo wa kwanza wa Ntibazonkiza kucheza akiwa na jezi yetu na utakuwa wa mwisho kwetu katika mwaka 2022.
Kikosi kamili kilivyopangwa
Advertisement
Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Joash Onyango (16), Henock Inonga (29), Sadio Kanoute (13), Clatous Chama (17), Mzamiru Yassin (19), John Bocco © (22), Saido Ntibazonkiza (39), Pape Sakho (10).
Wachezaji wa Akiba
Beno Kakolanya (30), Erasto Nyoni (18), Gadiel Michael (2), Kennedy Juma (26), Victor Akpan (6), Jonas Mkude (20), Kibu Denis (38), Habibu Kyombo (32), Augustine Okrah (27).