Simba Sports Club
News

Nsanganzelu Kocha mpya Simba Queens

30 Sep 2025

Nsanganzelu (39) alikuwa mmoja wa makocha waliokuwa kwenye kituo cha TDS Tanga kabla ya kujiunga na Simba Queens.

Nsanganzelu ni kocha kijana mwenye leseni A ya CAF ambaye amejidhatiti kuhakikisha anarejesha heshima ya Simba Queens.

Advertisement

Nsanganzelu pia ni kocha wa utimamu wa mwili (Fitness Coach) ambapo kabla ya kujiunga nasi alikuwa kwenye benchi la timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'.

Back to homepage
Share this story