Mfumo huu wa kucheza Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii ni mara ya pili kutumika ambapo ulianza mwaka jana na tuliibuka Mabingwa kwa kuifunga Yanga katika mechi ya Fainali.
Mshindi wa mechi yetu atakutana na mshindi wa mchezo wa nusu fainali ya pili kati ya Azam FC dhidi ya Coastal Union.
Advertisement
Kikosi chetu kinaendelea kupiga kambi nchini Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano na kitarejea nchini mwishoni mwa mwaka huu.