Simba Sports Club
News

Mzamiru, Kapombe, Kanoute wachuana Mchezaji Bora Novemba

28 Nov 2022

Wachezaji hao ni viungo wakabaji Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute pamoja na mlinzi wa kulia Shomari Kapombe.

Walinzi wawili Joash Onyango na Mohamed Hussein wameingia tano bora lakini baada ya mchujo ndiyo wamebaki watatu waliongia fainali.

Takwimu za wachezaji wote za mwezi Novemba

Mechi Dakika Mabao Assist

Mzamiru 6 530 1 1

Advertisement

Kapombe 6 540 1 0

Kanoute 5 398 0 0

Zoezi la kupiga kura kupitia tovuti yetu ya www.simbasc.co.tz litaanza leo Novemba 28 saa 7 mchana na litafungwa Desemba Mosi mwaka huu.

Mshindi ni yule atakayepata kura nyingi ambapo atakabidhiwa fedha taslimu Sh 2,000,000 na tuzo kutoka kwa wadhamini Emirate Aluminium Profile

Back to homepage
Share this story