Simba Sports Club
News

Mugalu, Morrison kuongoza mashabulizi dhidi ya USGN

3 Apr 2022

Wawili hao watapata msaada wa karibu kutoka kwa viungo wengine wawili washambuliaji Pape Sakho na Rally Bwalya.

Kocha Mkuu Pablo Franco ameanzisha idadi kubwa ya viungo washambuliaji lengo likiwa ni kutengeneza nafasi nyingi ambazo zitazalisha mabao.

Katika eneo la kiungo wa ulinzi Pablo amewaanzisha Jonas Mkude na Sadio Kanoute kama ilivyo kawaida katika mechi zetu za karibuni.

Kikosi Kamili kilivyopangwa

Advertisement

Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Joash Onyango (16), Henock Inonga (29), Jonas Mkude (20), Pape Sakho (17), Sadio Kanoute (13), Chris Mugalu (7), Rally Bwalya (8), Bernard Morrison (3)

Wachezaji wa akiba

Beno Kakolanya (30), Israel Patrick (5), Kennedy Juma (26), Erasto Nyoni (18), Taddeo Lwanga (4), Mzamiru Yassin (19), Medie Kagere (14), Kibu Denis (38), Peter Banda (11).

Back to homepage
Share this story