Simba Sports Club
News

Mo ateua Wajumbe wa Baraza la Bodi ya Ushauri wa klabu

29 Oct 2023

Moja ya majukumu ya Raisi wa heshima ni kuhakikisha Uongozi na Utawala bora unazidi kuboreshwa kila wakati ili kuzidi kusukuma gurudumu la maendeleo ya klabu.

Baada ya kushauriana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Mo amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Baraza la Ushauri ( Advisory Board) wa klabu.

1. Jaji Thomas Mihayo M/kiti

2. Hassan Dalali-Mjumbe

3. Ismail Aden Rage-Mjumbe

4. Evans Aveva-Mjumbe

5. Faroukh Baghoza

6. Swedi Nkwabi-Mjumbe

7. Azim Dewji-Mjumbe

8. Kassim Dewji-Mjumbe

9. Musleh Al-Ruweh-Mjumbe

10. Mohamed Nassor-Mjumbe

Advertisement

11. Mulamu Ng’ambi-Mjumbe

12. Octavian Mshiu-Mjumbe

13. Prof Mohammed Janabi-Mjumbe

14. Hassan Kipusi-Mjumbe

15. Geofrey Nyange-Mjumbe

16. Gerald Yambi-Mjumbe

17. Moses Kaluwa-Mjumbe

18.Crescentius Magori-Mjumbe

19. Juma Pinto- Mjumbe

20. Mwina Kaduguda-Mjumbe

21. Idd Kajuna-Mjumbe

Kazi kubwa ya Baraza hili itakuwa ni kuishauri Bodi juu ya maendeleo ya klabu Uongozi na Utawala bora.

Back to homepage
Share this story