Simba Sports Club
News

Mo ashusha viingilio vya mchezo dhidi ya Raja Casablanca

14 Feb 2023

Awali kiingilio cha chini ambapo ni mzunguko kilikuwa Sh. 5000 lakini sasa itakuwa Sh. 3000 wakati VIP C ilikuwa 20,000 ila kwa sasa itakuwa Sh. 10,000.

Mo amechukua maamuzi hayo ili kuwafanya mashabiki wetu wajitokeze kwa wingi uwanjani kuipa sapoti timu ili tufanye.

Viingilio vipya vilivyopangwa

Mzunguko Sh. 3,000

Advertisement

VIP C Sh. 10,000

VIP B Sh. 20,000

VIP A Sh. 30,000

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwa njia ya mtandao muda mfupi ujao tutatangaza vituo ambavyo zitapatikana.

Back to homepage
Share this story