Awali kiingilio cha chini ambapo ni mzunguko kilikuwa Sh. 5000 lakini sasa itakuwa Sh. 3000 wakati VIP C ilikuwa 20,000 ila kwa sasa itakuwa Sh. 10,000.
Mo amechukua maamuzi hayo ili kuwafanya mashabiki wetu wajitokeze kwa wingi uwanjani kuipa sapoti timu ili tufanye.
Viingilio vipya vilivyopangwa
Mzunguko Sh. 3,000
Advertisement
VIP C Sh. 10,000
VIP B Sh. 20,000
VIP A Sh. 30,000
Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwa njia ya mtandao muda mfupi ujao tutatangaza vituo ambavyo zitapatikana.