Simba Sports Club
News

Mgunda afanya mabadiliko matatu dhidi ya Singida leo

9 Nov 2022

Mgunda amemuanzisha mlinda mlango Beno Kakolanya, kiungo mkabaji Sadio Kanoute na Kibu Denis ambao hawakuanza katika mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar.

Moses Phiri ataendelea kuongoza safu ya ushambuliaji ambapo atasaidiwa na Kibu pamoja na Pape Sakho.

Kikosi kamili kilivyopangwa

Advertisement

Beno Kakolanya (30), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Joash Onyango (16), Henock Inonga (29), Jonas Mkude (20), Pape Sakho (10), Sadio Kanoute (13), Kibu Denis (38), Moses Phiri (25), Mzamiru Yassin (19).

Wachezaji wa Akiba

Aishi Manula (28), Erasto Nyoni (18), Gadiel Michael (2), Kennedy Juma (26), Mohamed Ouattara (33), Victor Akpan (6), Peter Banda (11), Nassor Kapama (35), Habibu Kyombo (32).

Back to homepage
Share this story