Simba Sports Club
News

Mechi ya Simba Queens yasogezwa Mbele

17 Aug 2024

Michuano hiyo ambayo inashirikisha timu nane kutoka kwenye makundi mawili inaanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa Abebe Bikila nchini Ethiopia.

Mabadiliko haya ya ratiba yanakipa nafasi kikosi chetu kuendelea kuzoea hali ya hewa ya Ethiopia ambayo ni baridi.

Advertisement

Morali za wachezaji zipo juu na wanaendelea na programu za mazoezi chini ya Kocha Juma Mgunda na wasaidizi wake.

Back to homepage
Share this story