TFF imefanya mabadiliko ya kanuni kwenye mechi za Ngao ya Jamii ambapo msimu huu itashirikisha timu nne na si mbili kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Mshindi wa mchezo wetu atakutana na atakayeibuka kidedea kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Azam FC.
Advertisement
Atakayepoteza nae atakutana na atakeshindwa katika mchezo wa Yanga dhidi ya Azam.