Simba Sports Club
News

Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii kupigwa Agosti 10 Mkwakwani

8 Jul 2023

TFF imefanya mabadiliko ya kanuni kwenye mechi za Ngao ya Jamii ambapo msimu huu itashirikisha timu nne na si mbili kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Mshindi wa mchezo wetu atakutana na atakayeibuka kidedea kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Azam FC.

Advertisement

Atakayepoteza nae atakutana na atakeshindwa katika mchezo wa Yanga dhidi ya Azam.

Back to homepage
Share this story